FAIDA ZA ZABIBU KATIKA AFYA
zabibu ni matunda yenye faida nyingi kiafya na kwa mwili pia zabibu ina virutubisho vingiNISHATI
WANGA
KAMBA KAMBA
MAFUTA
PROTEIN
VITAMIN B1,B2,B3,B5,B6,B9,C,E,K
CALCIUM
IRON
MAGINIZIAMU
MANGANIZI
SODIAMU
POTASSIUM
FOSFORASI
Hivi vyote ni madini na virutubisho muhimu katika mwili wa binadamu
FAIDA ZABIBU KIAFYA
KUTIBU PUMU
zabibu zinasaidia kuongeza unyevunyevu kwenye njia ya hewa na hivyo kupunguza utokeaji wa pumu
HUIMARISHA MIFUPA
Madini ya shaba ,chuma,manganizi, hupatikana kwa wingi kwenye zabibu,na madini haya husaidia kujenga mifupa imara
Huongeza nitric oxide kwenye damu ambayo huzuia damu kuganda pia husaidia mafuta kuto kulundikana kwenye mishipa ya damu
zabibu ina kampaundi za flavonoids aina za resverotory ambayo husaidia kutoa sumu mwili
hivyo hayo yote husaidia kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo na shinikizo damu
zabibu zina viondoa sumu yani (antioxidant) ambayo husaidia kuondoa sumu yani free radicals kutoka kwenye figo.pia hupunguza tindikali ya uric acid kwa kuongeza kiasi cha mkojo unao tengenezwa na figo
zabibu ina uwezo wa kupunguza lehemu mbaya (cholesterol) kwenye damu zabibu zina kampaundi kama pterosostilbini ambazo hupunguza mafuta ya lehemu kwenye damu,pia aina ya kampaundi iliyo kwenye ngozi ya zabibu ziitwazo saponins hupunguza lehemu kutoka kwenye utumbo
zabibu hupunguza hatari ya kupata kansa
kampaundi za resverotory huondoa sumu zinazo weza leta saratani pia baadhi ya kampaundi nyingine huzui seli za saratani kukua na kuimarisha mfumo wa kinga ya mwili
HUSAIDIA AFYA YA MOYO
HUBORESHA MMENG'ENYO WA CHAKULA
HUONGEZA NGUVU ZA MWILI
MUHIMU KWA WAJAWAZITO
MUHIMU:-WAKATI WAKUTUMIA HIKIKISHA UNAOSHA KWA MAJI YA UVUGU VUGU VIZURI KUTUMIA WAKATI WOTE KUTUMIA KAMA JUISI AU KULA KAMA KAWAIDA
USIKOSE KUTUFATILIA KWENYE PAGES ZETU MBALI MBALI:- INSTAGRAM@AFYA_NA_MATUNDA_
FACEBOOK PAGE @AFYA NA MATUNDA
/HABARINAAFYAhttps://m.facebook.com/story.php?story_fbid=113360723613504&id=111997310416512
EMAIL:- Info.afyanamatunda@gmail.com
CONTACTS US:- ±255684559098
+255764500827
PERSONAL PAGE INSTAGRAM @Iamkimtu
you're healthy is my priority

No comments:
Post a Comment