FAIDA YA TIKITIMAJI KIAFYA
Tikitimaji ni tunda linalo pendwa,Tunda hili lina faida nyingi pamoja na kuwa nichanzo kikuu cha protein,fat, carbohydrates, nyuzinyuzi, calcium, phosphorus,iron, potassium, magnesium,carotene na vitamin C A B6 na virutubisho vingine vingi
Virutubisho na Madini hayo yote ni muhimu katika afya ya mwili
Tikitimaji linasaidia kuwa na uwezo mkubwa wakuimalisha misuli ya mfumo wa fahamu kufanya kazi zake vizuri na kukuondoa katika hatari ya kupata shinikizo la damu
Tikitimaji huboresha Afya ya macho kwakua tunda hili lina potassium na vitamin A ambayo husaidia misuli ya macho hivyo ufanya kusaidia kuwa na uwezo wakuona
Tikitimaji Huimarisha Kinga ya miwili kwa vile hili zaidi ya Asilimia 12 ya vitamin C na moja ya sifa ya vitamin C kujenga na kukinga mwili hivyo Tikitimaji kusaidia kuimarisha kinga ya mwili
Tikitimaji husaidia afya ya ubongo madini ya kopa yanayo patikana kwenye tunda hili kwaiyo ina nafasi kubwa kusaidia ubongo kufanya kazi vyema
Tikitimaji ni chanzo cha madini ya potassium. Tikitimaji husaidia kuondoa sumu mwilini kwakua tikitimaji ina tunda lenye vitamin C na kwakua ina acid ascorbic ambayo ufanya kazi kama kiosha sumu mwilini
Tikitimaji husaidia mtiririko wa damu kwakua tikitimaji ni chanzo cha madini ya potassium ambayo kazi yake ni kusaidia misuli kuwa imara upelekea damu kutiririka vizuri
Pia Tikitimaji hubadilisha protein kuwa Nishati
vilevile Tikitimaji huponyesha majeraha na kukinga uharibifu wa seli vitamin C nichanzo kikuu cha ulinzi na kikanga hivyo upelekea mwili kuwa nakinga
Tikitimaji husaidia mmeng'enyo wa chakula vyakula vyenye nyuzinyuzi ni muhimu sana kwa ajili ya kufanya mmeng'enyo wa chakula uende vizuri,na kwakua nyuzinyuzi pia upatikani kwa wingi kwenye Tikitimaji
Tikitimaji maji hulinda afya ya moyo kwakua tikitimaji maji ni chanzo cha potassium na madini ya potassium yanayo patikana kwenye Tikitimaji ni muhimu sana katika utendaji kazi wa misuli ya moyo
Tikitimaji husaidia afya ya meno na fizi kuwa imara na madini ya calcium, Folate yanayo patikana ni muhimu kwa kusidia mifupa kuwa imara hivyo kutumia Tikitimaji
Tikitimaji husaidia kuongeza maji mwilini kwakua asilimia 92 ya tunda hili ni maji
Tikitimaji ni muhimu kwa wajawazito kwakuwepo kiasi kikubwa cha potassium na vitamin C na B6 ambazo ni muhimu kwa afya ya ukuaji wa mtoto, hivyo mama mjamzito anashauriwa kutumia tunda hili.
ZINGATIO; unashauriwa kula na mbegu zake zingatia mazingira ya kulitumia jitahi kuliosha kbla ya kula
KWA USHAURI PIGA +255684559098 +255764500827
USISAHAU KU LIKE NA KU FOLLOW KURASA ZETU
INSTAGRAM @ AFYA_NA_MATUNDA_
https://www.facebook.com/pg/habarinaafya/reviews/
written by HAMIS BASHIR Instagram @iamkimtu
* you're health is my priority*

No comments:
Post a Comment